Kagoma Green Estates
My blogs
Blogs I follow
Gender | Male |
---|---|
Industry | Communications or Media |
Occupation | Journalist |
Location | Dar es salaam, Dar es salaam, Tanzania |
Introduction | Kagoma Green Estates ni kampuni ya kizalendo iliyoanzishwa na Bwana Salum Said Seif kwa lengo la kuondoa umasikini nchini Tanzania akianzia katika kijiji alichozaliwa kijiji cha Kagoma, Wilaya ya Muleba mkoani Kagera. Pamoja na shughuli nyingi, Kagoma Green Estates inajihusisha na kilimo cha migomba, mashamba ya miti na utunzaji wa wa mazingira. Hivi karibuni Kagoma Green Estates itaanzisha kiwanda cha kusindika juisi ya asili ya ndizi (pure natural banana juice). Aidha miradi ya Kagoma Green Estates imebuniwa na inasimamiwa na Mtanzania Bwana Sylivester Marosha. Kwa sasa hivi Kampuni hii ina wafanyakazi wa mashambani zaidi ya 10, walinzi na waendesha mitambo. |
Interests | reading books and playing games |
Favorite Movies | Expect no mercy |
Favorite Music | Hip hop |
Favorite Books | philosophers' books |