NIHABARISHE

My blogs

Blogs I follow

About me

Industry Communications or Media
Occupation PRINT & ONLINE
Location DAR ES SALAAM, SEA VIEW, UPANGA, ILALA, DAR ES SALAAM., DAR ES SALAAM, TANZANIA, Tanzania
Introduction Nihabarishe ni blog iliyoanzishwa na kuwa chini ya Progress the Youth Foundation. PY husaidia jamii katika Nyanja za uchumi, Afya, Utafiti, uchapishaji na misaada ya kibinadamu. Kama mashirika au makampuni binafsi au makampuni ya serikali yanayojitegemea PY inayo haki sawa kuanzisha kutekeleza shughuli za habari na miradi yoyote pasipo kukiuka katiba ya jamhuri wa muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 inayotoa uhuru kwa hivi vyombo na watu binfsi kuwekekeza katika habari. Sekta ya Habari na Utangazaji ni moja ya sekta za huduma za jamii nchini. Sekta hii inatoa huduma ambayo ni haki ya msingi ya raia kama inavyotamkwa kwenye Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977. Ibara ya 18 ya Katiba inasema: (1) Kila mtu yuko huru kuwa na maoni yoyote na kutoa nje mawazo yake, na kutafuta, kupokea na kutoa habari na dhana zozote kupitia chombo chochote bila ya kujali mipaka ya nchi, na pia ana uhuru wa mawasiliano yake kutoingiliwa kati.
Interests INFOTAINTMENT(Entertainment with Information)
Favorite Movies BLOOD DIAMOND
Favorite Music BONGO FLEVA
Favorite Books RICH DADDY POOR DADDY, INVERTED DEMOCRACY BY PRINCE PASTORY

What takes you there? is it that within you?