Baba.Xtina
My blogs
Gender | Male |
---|---|
Industry | Education |
Occupation | Research PhD |
Location | Amsterdam, Amstelveen, Netherlands |
Introduction | Nimezaliwa miaka 30 Iliyopita, Nimekulia na kupata elimu yangu Iringa katika Shule ya Msingi Kihesa na Sekondari Lugalo. ELimu ya Juu nilipata Chuo kikuu Mzumbe Morogor baada ya kuhitimu kidato cha sita Pugu mwaka 2001. Mwaka 2007 nilijiunga na shahada ya Uzamili (Masters) Chuo Kikuu Dar es Salaama ambako nilihitimu kwa ufanisi na mwaka 2012 nilijiunga na Chuo Kikuu VU Amsterdam kwa shahada ya Uzamivu. Dhamira yangu ni kutumikia Umma. Haijalishi nitatumika kwa nafasi gani lakini umma ni kipaumbele. Nimejifua vya kutosha na sasa imefika wakati wa kwenda kwa Umma! |
Interests | Chatting with friends, touring and reading business papers |
Favorite Movies | 24 |
Favorite Music | Heal the wrold, Michael Jackson |
Favorite Books | Things Fall Apart; Chinua Achebe, Mfalme Juha; Farouq Topan |
Compose the lyrics to a new national anthem that features an animal sound at least once:
Reffreshments